Total Pageviews

Saturday, December 3, 2011

MY 21 DAYS VACATION TO NAKATUBA - FAREWELL DINNER

Likizo inakwisha,
Ama kweli likizo ina raha yake, natamani kuongeza siku lakini haiwezekani

Siku ya mwisho tunakaribishwa chakula cha jioni kwenye familia ya Bw Robert na Bithia
Wasindikizaji huwa hawakosekani, Kevi kama kawa tulikuwa nae

Vyombo vilifutwa hasa ilibakia kwenda kusuuza hasa,


Mdau Beria akihakikisha hakuna kinachobakia huko Joshua akiwa hoi





Mali bila daftari hupotea bila kujua,


Mdau Roba huhakikisha mali zake zote zina "reference"



Ama kweli shibe mwana Malevya...........................

Blogger hoi kwa shibe Ankal Better, Neema wakitamani nao tusiondoke

No comments:

Post a Comment