Total Pageviews

Wednesday, December 28, 2011

HIVI NDIVYO NILIVYOIPITISHA SIKUKUU YA X MAS

Mapema asubuhi, siku ya sikukuu, Minoo, mimi na Manyama tukitafakari itakuwaje siku hii
Tukalazimika kuzuka dukani kwa Mangi, walau kupata mchele ili kubadilisha mlo wa sikukuu
mdau Issaya
Baadae Blogger akaingia kijiweni/masikani kwa stori za kupitisha muda
Mdau wa maskani

Huku tukivizia supu ya Kongoro ikiandaliwa

Stori kutoka kwa manazi wa mpira wa Uingereza zikiwa hazikosekani

Stori za hapa na pale na wajasiriamali



Na baadae mapema tukajisalimisha home kwa ajili ya kuwahi matukio muhimu kwenye Luninga kwa siku hiyo ya sikukuu, huku wadau wengine wakirejelea homeworks zao
Mungu ni Mwema, sikukuu imepita salama salimini.

Tunaisubiria Christmas ingine ijayo Mungu wetu akitujaalia

No comments:

Post a Comment