Total Pageviews

Monday, November 28, 2011

SL MAGWE NA SIWEMA WAMEREMETA

Unavikumbuka vikao vyetu vya kule Kizota Bar - Sabasaba(Mwl Nyerere Grounds)?

Jumamosi hii ndio ilikuwa siku rasmi ya mnuso, baada ya maharusi kuweka ahadi zao kanisani waliwasili rasmi kwenye mnuso, Ukumbi wa Baraza la Maaskofu Wakatoliki kule Kurasini.
High Table iking'aa

Maharusi na baadhi ya wanandugu

Picha mbali mbali za kumbukumbu zilishuhudiwa

Mahararusi Shabani Labani Magwe na Bi Siwema wakiwa na wapambe wao

Mama Chai hakukosekana

Vipande vitatu siku hiyo ilikuwa kitu cha kawaida, kila kona watu walipendeza. Mbassa hakuachwa nyuma

Wataalamu wa kurekodi matukio pia hawakuachwa nyuma pia

ABHENDE MSALYA

Hii ilikuwa jana jioni, jamii ya Msalya ilipojikuta imejumuika pale KM Garden - Ukonga kwa stori za hapa na pale.
CK Msalya, Kagere Mwayai Msalya,Silla Masisi Mwayai Msalya, Bright Nyachiriga K Msalya


Kagere, Silla

Billy Magoti K Msalya

Tuesday, November 22, 2011

MY 21 DAYS VACATION TO NAKATUBA - BUNDA

Kutoka majita kurudi Nakatuba, tukapata nafasi ya kupitia Bunda kuwaona ndugu na jamaa walioko hapa. Familia ya Mzee Mwayai makazi yao kwa sasa ni hapa Bunda pamoja na ndugu wengineo wengi. Hapa tunapata nafasi ya kuonana na watu adimu.

Mr Maseme tulionana mara ya mwisho kule Nakatuba wakati huo hata shule alikuwa hajaanza.

Lakini leo naambiwa ni mtaalamu mkubwa wa kilaji............, tena kile cha mwitu

Kabhajiro hatukuonana, lakini wanae tulikuwa nao hapa kwa Mzee Mwayai wakiwa na Bibi yao.
Mheshimiwa mwingine ni photocopy kabisa ya Jackson
Mtaalamu Maseme

Chuma, Mzee Mwayai


Mzee Mwayai

MY 21 DAYS VACATION TO NAKATUBA - TASWIRA KUTOKA MAJITA

Bukima Town, a nice stopover.

Kuna huduma za Magari, vyakula na vinywaji.

Neema,

Mradi wa uchimbaji visima Makojo

Watu wengi walikuwa na hamu ya kuiona teknolojia inayotumika
Mzee Kasereka wa Maande aka Mzee wa Miluzi
View of nyika za masinono from Mabhui

tulipita Saragana, moja ya centre maarufu sana huko Majita Nyamweya na wenzie wakitoka shule
Wakati mwingine tulilazimika kupaki gari letu mbali na sehemu tuliyofikia

Monday, November 21, 2011

KIPAIMARA - KEVIN SOSPETER KWESI

Mh Kevin akiwasili kutoka kanisani

Siku maalum kwa Bw Kevin, ni siku ya KIPAIMARA. 20.11.2011
Wapambe, wapiga picha kama kawaida hawakosekani kwenye siku hii..........
Hightable
Wadau Mico, Wahida, CK Jnr na Minoo hawakukosekana
Wazazi na walezi wa kiimani



Paparazi kama kawa................

Na Blogger akivizia

Ni wakati wa Keki

Na mkono wa heri

Kampani ya kutosha kutoka kwa makomredi


Kuserebuka mwanzo mwisho

"Nibebee, ... Nibembeleze nibebe............mikononi mwako niwe salama"

Hakika Kevin akimweleza mlei wake wa kiimani





Saturday, November 19, 2011

Kijembe kwa Blogger: UNAPENDELEA!!

Mr Blogger baada ya kumrusha mdau CK Jnr siku anakwenda kufanya mtihani wa taifa wa darasa la nne amejikuta akipigwa kijembe kuwa anapendelea. Hii ni baada ya wiki baadae Mdau Minoo nae akawa anaenda kufanya mitihani ya kumaliza darasa la kwanza, akidhani atapigwa picha na kurushwa siku hiyo, kumbe sivyo.

Kwa hali hiyo imenilazimu kutafuta fedha za kupigia picha hizi siku anarudi kutoka kwenye papers ili zirushwe.
HONGERA SANA MDAU

Safari bado ndefu