Total Pageviews

Wednesday, November 16, 2011

MY 21 DAYS VACATION TO NAKATUBA - MAJITA (1)

Day 13 ya vekesheni ikaendelea kwa mwelekeo wa njia ya Majita.
Stop over Bukima
Mji mkongwe katika kanda hii ya majita, lakini ukuaji wake unaonekana ni wa kusuasua.
ni tofauti na enzi zile za Mali ya Umma alipokuwa anavuma.
Makojo ilikuwa kituo chetu cha kwanza.
Heshima pahala alipopumzika Shangazi Ghabhaseki Msalya na Mmewe Mafuru Nyabhyuga.
Wazazi wa Tatu, Gasige,Bhulesi,Siri,Daniel,Adamu, Grace, Msalya, Taabu na Salya.
RIP Aunt

Tukipokewa kwa bashasha na mwenyeji wetu Mr Gasige na familia yake

Timu yangu ikajaribiwa kuukwea Mlima Kilimanjaro

Na ndani ya muda mfupi msafara wangu ukiwa na wataalamu kama CK Jnr 2, na wengineo mlima Kilimanjaro haukuwa ni chochote mbele yetu

Ilikuwa furaha kuwa pamoja na familia hii japo kwa muda mfupi kwani safari ilikuwa haina budi kuendelea



Bhulinga,

Nyamagoti akiwa hajajua kinachoendelea kuwa msafara ulikuwa tayari uko kwake

Alipopumzika Mugerera Phares Chisute Mteki (1957 -2006)

RIP Phares

Furaha mnapokutana baada ya miaka mingi kupita, utatamani muda usimame japo kwa sekunde
Ikawa wakati wa kupeana habari za hapa na pale

Mama Mgerera na Bhikara (Baba Mwenye nyumba)
Chisute Mteki na Nyamagoti

simulizi kedekede, na utambulisho kwa wasiofahamiana.
Baraka zikajazwa kwenye chombo chetu cha safari

Picha ya kumbukumbu ilipopatikana chance ya kufanya hivyo
Lakini hatimae ilikuwa ni wakati wa kuwaona wageni wao wapendwa wakiondoka. Ilibakiana kutakiana heri na baraka kwamba Mungu atujaalie tukutane tena safari nyingine.

No comments:

Post a Comment