Total Pageviews

Wednesday, May 29, 2013

UKISTAAJABU YA MUSSA............

 
 
Source: Kenyanlist 
 
The Korowai, also called the Kolufo.
Deep within the inaccessible jungle of the southeast Indonesian province of Papua, about 150 kilometres inland from the Arafura Sea, lives the Korowai tribe – a clan totally isolated from the rest of the world. They are hunter-gatherers living in a small society of traditional family ties who need to share all they have in order to survive. Until their discovery by a Dutch missionary in 1974, the Korowai had hardly any contact with the outside world.

The Korowai people live in tree houses ranging in height from 6 to 12 meters, but some are as high as 35 meters above the ground. Usually the houses are built on a single tree but frequently the base of the house consists of several living trees, and additional support is derived from wooden poles. These tree houses protect families not only against swarms of mosquitoes below, but also ward off annoying neighbours and evil spirits.

HABARI MBAYA TOKA KASAHUNGA NIIJUAYO

Source: Lewis Mbonde Blog (27.05.2013)

VIKONGWE WATATU WAUAWA KIKATILI KWA IMANI ZA KISHIRIKINA NA KUCHOMWA MOTO HUKO BUNDA 

MAUAJI ya kikatili yametokea usiku wa kuamkia leo wilayani Bunda, mkoani Mara baada ya watu wenye hasira wa kijiji cha Kasahunga kuwauwa kwa kuwachinja kama Kuku kisha kuwachoma moto vikongwe watatu kwa kuwatuhumu wanajihusisha na vitendo vya kishirikina. 
 Pia watu hao mbali na kuwaua kikatili vikongwe hao kwa tuhuma kwamba walimuua kijana mmoja aitwaye Sale Ligolo, walichoma moto na kuteketeza nyumba walizokuwa wakiishi wazee hao pamoja na kupora kuku waliokuwa wakiwafuga na kuwatafuna kumaliza hasira zao.
 Kwa mujibu wa wa taarifa ya mwandishi Masau Bwire aliyepo Bunda kwa sasa, tukio hilo limetokea usiku wa kumakia leo baada ya watu hao wenye hasira kuwasaka ajuza hao baada ya kuwepo tuhuma kwamba walishirikiana kumuua kijana huyo hivi karibuni.
Kijana huyo alikufa kwa kugongwa na gari, lakini dereva aliyemgonga alidai hakuona kama alimgonga mtu ila mbwa na pia inaelezwa  tangu azikwe kijana huyo alikuwa akirejea kwa mkewe na kumuita nyakati za usiku pamoja na kusumbua familia yao akitaka apewe chakula na ndipo wanafamilia hao walipoamua kwenda kwa mganga kuchunguza tukio hilo. 
 Wakiwa kwa mganga,wanafamilia hao walitajiwa majina ya wanakijiji watatu wa kijiji hicho ambao hata hivyo walitoroka kwenda vijiji vya jirani pamoja na familia zao kabla ya usiku wa leo kuvamiwa walipokuwepo na kuangushiwa adhabu hizo za kinyama. 
Wa kwanza kushambuliwa na kuuwa ni bibi aitwaye Bi Mgala ambaye alikimbilia kijiji cha jiorani kwa rafiki yake aitwaye Bi Laya, ambapo walimkata miguu yote miwili na kumtenganisha kichwa na kiwiliwili kabla ya kumchoma moto ambapo hata hivyo kitu cha ajabu ni kwamba ziliungua nguo zake tu huku mwili ukiwa upo vile vile. 
Baadaye walimgeukia Bi Laya aliyekuwa akitaka kuwatoroka na kumfanyia unyama kama rafikie kwa kosa la kumhifadhi Bi Mgala kwa kuamini huenda wanafanya shughuli za kishirikina pamoja na baadaye kurudi Kasaula na kumnasa Bi Chausiku na kumfanyia kama walivyowafanyia ajuza hao wengine kisha kuchoma nyumba tatu. 
 Bibi wa tatu wanayemtuhumu pia kwa ushirikina, ametimka kijijini hapo, lakini nyumba yake imeteketezwa pamoja na kuku waliokuwa wakiwafuga kuporwa na watu hao na kutumia moto waliouwasha katika nyumba hizo kuwachoma na kuwala kwa hasira. 
Kamanda wa Polisi wa Bunda, Mika David Nyange amethibitisha juu ya tukio hilo la kusikitisha na kwamba wanedelea na upelelezi kwa nia ya kuwasaka waliohusika na kitendo hicho cha kujichukulia sheria mikononi.

Tuesday, May 28, 2013

AJALI HIZI

 
Ajali nyingine ni sisi wenyewe hatuchukui tahadhali

NANI ATAMKAMATA

Nani amfunge Paka kengele?????
Ni kosa kisheria kupanda pikipiki bila kuvaa kofia ngumu,
Lakini je? anapopanda msimamizi wa sheria za barabarani.....
Nani wa kusimamia tena sheria!

DALADALA TENA..

Uzuri wa ndege, Manyoya yake.......
"NMC" Tazara

ZOA ZOA

Askari wa jiji wakisimamia usafi katikati ya jiji.
Tahadhari na bishara ya popote kambi, utazolewa

The BABUs

 Milly
Billy

GOING STRONG

The Blog had a new, young, energetic with ambition Photographer
And this is .................

RAHA YA MAPISHI

Raha ya Mapishi,
Na hasa Sato wa kwetu,
maandalizi ufanye mwenyewe

Thursday, May 23, 2013

TAFAKARI!!!!!!!

Mwenyezi Mungu wetu ndiye Alfa na Omega
Na yu afanya mambo kwa makusudio yake.

Thursday, May 16, 2013

KONOZZ NA WADAU

Delmonte Office
Wednesday, Morning

NYOMI

Nyomi
Tazara jioni

SOKONI HAPA

Sokoni Buguruni

NJIA ZETU USWAZI

Uswazi kwetu
mpaka ukatize vichochoro uikute barabara ya lami ya kwenda mjini ni kazi kwelikweli,
Madimbwi, mifereji ya maji taka, taka zilizozagaa, matope..........
yaani wee acha tu, Kwetu mradi siku moja inapita inaingia ingine.

DAR ASUBUHI





Barabara zetu asubuhi,
Nini kifanyike kuondoa tatizo hili?

Tuesday, May 14, 2013

KUMEKUCHA

Njia panda Segerea
Leo asubuhi.
Biashara asubuhi, jioni mahesabu