Total Pageviews

Wednesday, October 20, 2010

MDAU TABI NA SAFARI YA MAJUU

Kabla ya safari ya kukwea Pipa, Mdau alifika kwa Ankal Kule nyumbani kwetu Kinyerezi kupata angalau dua, na mkono wa baraka na kwaheri
Konoz la safari njema
Wadau wakawepo safari ya usindikizaji pale Mwl Nyerere Airport ya uwanja wa Ndege
wadau kutoka MORO, Mji kasoro bahari walikuwepo kuweka baraka zao
mdau akatafakari, huyu Mama keshaondoka .......kilichobaki
Nipotezee.............................
Eeh, Lakini..................
Hivi ndege yao ndiyo ile kule juu....................
SAFARI SIO KIFO, TUTAONANA..............

KALALE PEMA MDAU, KAMANDA JOSIA MSALYA


Mipango ya malazi ya mwisho ya Mdau Josia Mwayai Msalya, yakiendelea. Ni pale nyumbani kwetu Kinyerezi, Ukonga, Ilala Dar Es Salaam

Wadau, washiriki na viongozi wa kanisa la SDA Ubungo Hill walijumuika, na kutoa neno

Kwaya ya SDA Ubungo Hill, ilitoa ujumbe wa kututaka kujiandaa wakati wote kabla ya safari

Wazee wa Kanisa walitoa hekima zao katika kumtukuza Mungu

Wasifu wa Mdau ukawekwa bayana,

Mchamungu, mwenye msimamo na aliyekuwa tayari kusimamia lile analoliamini.

KWAHERI MDAU JOSIA

........Malembo...............

...........Aznati...............

Kwaheri Baba, kamsalimie Mama....







Ulitoka kwenye Udongo, utarudi kwenye udongo

Friday, October 15, 2010

ENZI ZILE ZA MDAU WA MTWARA


Juzi Mudau wa Mtwara katika kufanya fanya usafi kwenye Library yake kakumbana na Photo moja maridadi sana ya enzi hizo. Katika kukumbuka kumbuka ikaonekana imepigwa before nineties, wakati huo mdau alikuwa akijiandaa kukwea pipa kwa safari ya masomo huko The Netherland. Tunakupongeza mdau kwa utunzaji huo wa kumbukumbu ya enzi hizo.

Naamini utatupa na maelezo zaidi kuhusiana na picha hii.
ilipopigwa, wadau pichani, waliko sasa na dodoso nyingine kama zipo.........

Wadau wote zile picha za Mzee Ck zilizokuweko kule nakatuba ziko wapi???????????
alipenda sana kupiga picha na familia. Mwenye kuwa nazo tunamkaribisha azirushe kwenye blog.