Total Pageviews

Wednesday, October 20, 2010

MDAU TABI NA SAFARI YA MAJUU

Kabla ya safari ya kukwea Pipa, Mdau alifika kwa Ankal Kule nyumbani kwetu Kinyerezi kupata angalau dua, na mkono wa baraka na kwaheri
Konoz la safari njema
Wadau wakawepo safari ya usindikizaji pale Mwl Nyerere Airport ya uwanja wa Ndege
wadau kutoka MORO, Mji kasoro bahari walikuwepo kuweka baraka zao
mdau akatafakari, huyu Mama keshaondoka .......kilichobaki
Nipotezee.............................
Eeh, Lakini..................
Hivi ndege yao ndiyo ile kule juu....................
SAFARI SIO KIFO, TUTAONANA..............

No comments:

Post a Comment