Total Pageviews

Friday, April 15, 2011

PHOTOS TAKEN BY CK Jnr1

Total Petrol Station , Mlimani City BP Mwenge Filling Station
Enroute, Mwenge Bagamoyo
Site Camp, Mwenge Tegeta Road Project

Tangi Bovu

Mr John
My Cyle
Ashura



Daddy in garden
T - Crissy

Wahida




T-Crissy

LEO 15 APRIL NI SIKU YA WADAU BJ NA ELIUD

Mdau mmoja, mkongwe wa Blog ameniandikia hivi: Nanukuu


"Now is THREE yrs, Hali ya hewa Dar leo inafanana na ile ya tarehe 15/04/2008..... siku ambayo Mungu wetu, mwingi wa huruma na Upendo aliruhusu na kutubarikia kwa mtoto BJ"


"15/04/2008 saa 2.45 Mitaa ya Sinza, MICO Hospital, Dr Mnyau akiwaongoza Ma Dr na Manesi, na kwa huruma na Upendo wa Mungu, mtoto Belly Junior anazaliwa na Mama yake Mpenzi Tabitha chini ya uangalizi wa Belly K Msalya (Belly Senior), Na Mdau Eddy ndani ya Leba na pia Mdau Eliud"

Belly jnr & Belly snr


Mdau Eliud HAPPY BIRTHDAY OUR DEAR Bj HAPPY BIRTHDAY OUR DEAR ELIUD

Tuesday, April 12, 2011

WAGANGA WENGINE NAO!!!!!!!!!!


KERO YA FOLENI DAR


Jana kero ya foleni ilinianzia asubuhi.

Mtava nililazimika kukaa foleni zaidi ya dk 40





Jioni wakati wa kutoka nikakutana na hali ile ile, nikifikiria jioni hii sina usafiri.


Lililobaki nikaona bora kwenda kwa mafungu.

By foot Msimbazi Bomani

Daladala Bomani Buguruni,

then by foot tena Buguruni sokoni hadi Tazara



From there ndio nikafanikiwa kupata

Daladala Tazara Banana













............Inakera..............

Mzee CK VISIT TO DELMONTE OFFICES








Mzee CK amepata lift ya Bw Silla leo kwenda mjini City Centre








Na akaitumia nafasi hiyo kupitia hapa ofisini kwetu.


Vioo vimesaidia, maana na mpiga picha kaingia kwenye picha


Friday, April 8, 2011

SUNDAY ROUND UP






























































































































































Baada ya kurudi Bagamoyo,

Jumapili hii kukawa na Round up ya Dar.
Breki ya kwanza ikawa Kipunguni,
Tukamkuta mdau BJ na brekifasti ya Matunda.
Anajulikana sana huyu kwa kutomaliza share yake, lakini kwa brekifasti ya siku hii, sahani ilibakia tupu ingawa pia ilichukua muda mrefu.
From there route ikaanzia Kwa Dr Ndodi kwa ajili ya Kikombe cha bure kwa ajili ya Mzee CK
Ikafuatia Kurasini kwa Mr Hatari
Juice, maji, matunda na lanchi yetu ikawa hapa
Na baadae stori za hapa na pale
Kutoka hapo, safari ikahamia Mbagala
Huko wadau wakavutiwa na taswira hii ya aina mojawapo ya Viazi, kama viazi vikuu hivi............
Lakini jina halisi likatupotea
Stop Over George Bush, Mbagala Sabasaba
ambapo tulikuwa joined na Mdau Magwe Nyambalya
Na jioni ikamalizikia
KM Garden, Ukonga Magereza
Na kampani ya Mr Eliud