
Jana kero ya foleni ilinianzia asubuhi.
Mtava nililazimika kukaa foleni zaidi ya dk 40

Jioni wakati wa kutoka nikakutana na hali ile ile, nikifikiria jioni hii sina usafiri.
Lililobaki nikaona bora kwenda kwa mafungu.

By foot Msimbazi Bomani

Daladala Bomani Buguruni,
then by foot tena Buguruni sokoni hadi Tazara
From there ndio nikafanikiwa kupata
Daladala Tazara Banana
............Inakera..............
No comments:
Post a Comment