Total Pageviews

Thursday, March 27, 2014

ADHA YA MVUA ZA DAR

Mvua za usiku wa kuamkia leo Dar,
ni mshike mshike karibu kila sehemu.
Hapa ni mitaa ya MYFAIR PLAZA asubuhi.

Wednesday, March 19, 2014

BURIANI RAYFORD

 Hapa ndipo walipopumzika Uncle Maingu na Bibi Rebecca Nyamweya
Masuruli, Beria na Maclaud - Karukekere

Rayford Maingu Magoti 1962 - 2014
hatunae tena, amefariki usiku wa kuamkia leo huko Bariadi.
Mipango ya mazishi inafanyika nyumbani Karukekere.
Ukapumzike kwa amani Rayford.


BURIANI KABHWIGA

Bw Gerald Sulusi Ndaro a.k.a. KABHWIGA (Bulls 42)
Kwa ajili ya kukimbizana na maisha aliondoka nyumbani Ukerewe kwa ajili ya kutafuta fursa pahala pengine.
Safari ikamfikisha Ikwiriri, Rufiji kwa ajili ya kujaribu kilimo cha Ufuta.
Lakini juzi kwa ghafla mauti imempata akiwa ugenini. Maziko kwa mujibu wa taarifa yamefanyika jana Ikwiriri.
Bwana alitoa, Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.

Wednesday, March 12, 2014

HAPPY BIRTHDAY The MIRIAMS

Leo na kesho ni Birthday ya Miriam Jnr na Mirian Snr.
HAPPY BIRTHDAY The MIRIAMS

Monday, March 10, 2014

LITTLE MAID


Minoo
Jumapili

NI SIKU YA JOEL NA ELIMINA






Bw Joel Joshua alipofunga pingu za maisha na Bi Elimina, kanisa la waadiventista Kinyerezi.
jana Jumapili.
Wimbo ulio bora 8:7
Maji mengi hayawezi kuuzimisha upendo, Wala mito haiwezi kuuzamisha : Kama mtu angetoa badala ya upendo mali yote ya nyumbani mwake, Angedharauliwa kabisa.

Thursday, March 6, 2014

Monday, March 3, 2014

NGUMU KUMEZA

Yataka moyo kupiga KAP..KAP..mafunda ya NgumuKumeza.
Samunge jumapili.

TUMCHORE

Blogger katika picha za kuchora.
Modern phone technology

MDAU MWENYE NIA

Mdau Baasha Makubhi a.k.a. Mzee wa Makamuzi.
Ameshaonesha nia ya kwenda kuikomboa kata yetu toka mikononi mwa Fisadiz 2015.