Total Pageviews

Thursday, August 30, 2012

NI MWEZI MUHIMU KWA WADAU WETU WA DODOMA

                          
Kwaheri August,
Karibu September.
Kwa Wadau wetu wa Dodoma, huu ni mwezi wenye kumbukumbu ya aina yake.
Unawakumbuka Kulwa na Dotto waliozaliwa tarehe tofauti???
Ndivyo ilivyo kwa Mapacha hawa
01 SEPTEMBA
"Kulwa" MASEKE MGABHO
anatimiza miaka kadhaa
02 SEPTEMBA
"Dotto" SARAH MSALYA MASEKE
nae anatimiza miaka kadhaa
Na
11 SEPTEMBA
Ndoa ya Mapacha hawa inafikisha miaka kadhaa

HAPPY HAPPY ANNIVERSARIES WADAU MASEKE & SARAH

KAZI NI KAZI .contn....

Wednesday, August 29, 2012

HUU SI UUNGWANA HATA KIDOGO

 
 
 
 
 
 
Jumanne, Mnazi mmoja
Serikali imekuwa inawahimiza watu wake kujiajiri.
Bodaboda imekuwa njia mojawapo ya vijana wengi kujiajiri. Lakini cha kustaabisha serikali hiyohiyo imekuwa mbele kuwasumbua na kuwanyanyasa badala ya kuwaelimisha.
Hawa nao ni watanzania wanayo haki ya kufanya shughuli zao popote ilimradi hawavunji sheria.
Iweje sasa kuingia mjini ni kosa???????
Mbaya zaidi waliopewa kazi ya kusimamia sheria ya Bodaboda kutoingia mjini tunaweza kusema wapowapo tu.........
Hawana vitambulisho,
Hawana mavazi rasmi ya utambuzi,
Wana Lugha chafu..........
Hakika huu si uungwana wanaofanyiwa Bodaboda.
Picha from my Nokia

Tuesday, August 28, 2012

KUINGIA JOB KWA FOLENI

SBC, Vingunguti Nyerere Road
Ndio ofisi ya mdau Kagere.
Kuingia job kwa foleni

Tuesday, August 21, 2012

TAKE CARE OF YANGEYANGE

Take care barabarani, jamaa wamerudi toka sikukuu na njaa
Huyu ni mmoja wa waliowekwa pembeni asubuhi ya leo.
Nyerere Road, banda la Ngozi

Saturday, August 18, 2012

EID MUBARAK

IDDI MBARAKA NJEMA KWA WADAU WA BLOG

WADAU WETU KITUNDA TSUNAMI

 Joshua a.k.a. mtoto wa mama
 Nyasila
Konozz na wadau

MDAU KULWA MALEMBO ANAUMWA

Mdau wetu
Kulwa Malembo ameshambuliwa na shinikizo la damu usiku wa kuamikia Sabato.
Anaendelea kupata matibabu nyumbani kwake Kitunda Tsunami.
Tunaombeni DUA zenu
                           
Wadau mbalimbali wamefika leo kumjulia hali

Thursday, August 16, 2012

DINNER INVASION

Unapokuta share yako haimo, lakini msosi ni Ugali kwa Dagaa, Nyanya chungu na Bamia utafanyaje?
HAKUNA JINSI, UNAVAMIA HIVO HIVO NA KUWAACHA WENYE NACHO WAAMBULIE MAJI

Wednesday, August 15, 2012

WADAU WETU

 Amina Billy K. Msalya
Manyama Gelard M. Msalya
Kurwijira Billy K. Msalya

Sunday, August 12, 2012