Total Pageviews

Tuesday, April 30, 2013

CHENDANE 21

 








Baada ya kimya cha muda mrefu,
CHENDANE imezinduka tena na dhamira ya kusonga mbele
Kikao cha 21 kimefanyika Kurasini jumapili.
Hapa ni nyumbani kwa muasisi wa sera ya UPENDO

Monday, April 29, 2013

MDAU MINOO

Mdau Minoo akifuatilia news kutoka magazetini.
jana kwetu Kinyerezi

KWAHERI YUSUPH NJENGA

Upumzike kwa amani Yusuf Abdallah Njenge
Bw, Njenge alijiunga nasi DELMONTE kama dereva February 2012,
amefikwa na mauti Ijumaa 26 April baada ya kuugua tokea February mwaka huu.
Maziko yamefanyika Jumamosi 27 April 2013

Friday, April 26, 2013

MARA MOJAMOJA

Raha jipe mwenyewe,
Na blogger nae si vibaya mara mojamoja kujiblogisha

Thursday, April 25, 2013

BENZ LAUNGUA

Kawawa Road, Machinga Complex asubuhi leo.
Tukiwa kwenye foleni Benz hili T583ABP lilianza kufuka moshi kabla ya moto kuanza kujitokeza.
Abiria wa kwanza kuchomoka, mheshimiwa mwenye white kulia, baadae dada anaefunga mlango.
Dada dereva kama haamini kinachotokea, akiwa bado katulia garini na kufunga mkanda.
Sikujua kilichoendelea, lakini hadi foleni inaanza kuruhusu moto ulishashika injini mbele kwenye buti.

Tuesday, April 23, 2013

MCHIKICHINI HAPA

 
Mchikichini, Uhuru Road
Soko maarufu kwa wajasiriamali.
Biashara mtindo mmoja
Lakini kila mmoja na hamsini zake

NJIANI KUTOKA SHULE

njiani kutoka shule
Msimbazi, Kawawa Road

Saturday, April 20, 2013

Thursday, April 18, 2013

HEPI BETHIDEI MDAU GILBERT

 
 
 
 
Leo Ofisini
Mdau QS Gilbert Martin,
Ni Hepi bethidei yake ya kuzaliwa.
Akifikiria itapita kimya kimya..............
Aah wapi, wadau wengine wakimvutia pumzi tu.
Na taimu ilipotimia wakamshushia suprise la nguvu.................
HAPPY BIRTHDAY DEAR GILBERT