Total Pageviews

153783

Tuesday, April 2, 2013

MAJI YANAPOZIDI UNGA

 
 
Jumapili kwetu Kinyerezi
wakati wengine wakiwa kwenye shamra shamra za kusheherekea ufufuo wa Bwana Yesu, kwa mwenzetu mmoja (Mwenye kushikilia Radio-Picha ya nane) mambo yalizidi unga.
Pradoaliyokuwa akiindesha iliacha njia na kupinduka maeneo ya gereji mtaani kwetu.
Hakuna aliyepoteza maisha kwenye ajali hii.

No comments:

Post a Comment