Total Pageviews

Monday, March 30, 2015

UBUNGO MPYA

Ubungo niliyoishi 1991 - 2000, siyo sawa na Ubungo ya leo.
Ubungo Jumapili jioni

Thursday, March 26, 2015

HAPPY BIRTHDAY WISHES

Mr Richard Mgabo
Birthdays are a new start, a fresh beginning, and a time to pursue new endeavors with new goals. Move forward with confidence and courage. You’re a very special person. May today and all of your days be amazing!

Wednesday, March 25, 2015

Tuesday, March 24, 2015

MTUHUMIWA AHUKUMIWA NA WANANCHI

Msimbazi Centre,
Kawawa road, mchana.
Bwana mmoja ambae jina lake hajatambulika amekumbana na kipigo kutoka kwa wananchi wenye hasira kali baada ya kutuhumiwa kutaka kumwiba mtoto mdogo kutoka ndani kwao mitaa ya Kigogo Sambusa/Msimbazi Centre.
Picha ya kwanza juu, Mama mtoto akiwa na mtoto aliyeponea chupuchupu kuibiwa akisimulia mkasa mzima ilivyokuwa.

HALI ILIVYO DARAJA LA KINYEREZI

Hali ni tete kwenye njia ya Kinyerezi - Majumba sita baada ya daraja kuvunjika, na diversion iliyokuwepo kuzolewa na mvua.
picha kutoka mtandao wa:simbadeo.wordpress.com

Monday, March 23, 2015

SALAMU ZA MVUA

Kinyerezi kwetu, Jumapili jioni
Hii ni baada ya kukatika kwa mvua zilizoanza Jumamosi

HAPPY BIRTHDAY ANNIVESARIES

Kagere
 Miaka kadhaa iliyopita, kule Nakatuba
Kibara Bunda siku kama ya leo alizaliwa 
KAGERE MWAYAI MSALYA
AminaTereza
Na miaka 28, baadae tarehe hiyohiyo, Kinyerezi Dar Es Salaam
alizaliwa
 AMINA BILLY MSALYA "Minoo"
 HAPPYBIRTHDAY DEAR KAGERE AND MINOO


Saturday, March 21, 2015

KUMEKUCHA DAR

Kama kawaida ya Dar yetu,
Mvua zinazoendelea kunyesha kuanzia usiku zimeshaonyesha makeke yake.........
Akiba, mchana huu

Picha kwa hisani ya Lulu - Whatsapp Msalya Group

Thursday, March 19, 2015

UKISTAAJABU YA MUSA.......

Unapokerwa na foleni zetu,
Pale Buguruni, Tazara, Ubungo, Mwenge, Salender..........nk
A tight tangle in Xi'an, China.

DAR, ARE U READY ??

Kuna kila dalili sasa kuwa mvua za masika zitaanza,
Mvua za juzi ni salamu tosha kwa wakazi wa jiji letu kukaa "standby"
Pichani ni mitaa ya Msasani, Bonde la Mpunga.

Picha kwa Hisani ya wadau wetu wa DelMonte.

Wednesday, March 18, 2015

HATUA KWA HATUA



Kinyerezi darajani leo asubuhi,
Baada ya darala letu la mchepuko kuvunjika tena,
Kuvuka ni kwa zamu,
na nidhamu inahitajika ya hali ya juu