Total Pageviews

Thursday, June 3, 2010

FROM MWANZA TO NAKATUBA ON VEKESHENI

kwa mtiririko mzuri wa matukio, ni vyema ukaanza picha ya chini, kwa kupanda juu.
Sorry for Incovinience, ilitokana na matatizo ya kimtandao kidogo.
Na hatimae kulikuwa na picha ya Ukumbusho huu......................
Naamini Vekesheni hii itabakia kumbukumbu safi kwa muda mrefu kwa vizazi vya kina Pricilla
Kumbe wageni hawakuja mikono mitupu.....
Walikuja na Zawadi kibao.
Bi Penina alikuwa miongoni mwa waliojimwayamwaya na mizawadi kibao
Wenyeji walipopata nafasi, walikaa nakupumua kidogo............
Hata kikombe cha Chai sasa ilikuwa ruksa kupita
Ilipopatikana chance, watu walipeana habari za mjini na za shamba
Wakabadilishana mawazo.............
Maneno mazuri ya busara huwa hayakosekani wakati huo.
Kila mmoja alihakikisha anatimiza wajibu wake ili kufanya mambo yende sawa, na ilipobidi wengine waliitana chemba na kuteta kidogo....................
Mahanjumati kama kawaida, kuwaacha wageni wakiwa na furaha tele, tele .....
Bi Mukima, Bi Penina na Bi Nyamisi walikuwepo standby kuwapokea wageni kutoka Mwanza,
Wageni hao wanaingia................................................



































No comments:

Post a Comment