Total Pageviews

Tuesday, February 28, 2012

HIVI NDIVYO ILIVYOKUWA SIKU YA MAFURIKO

Kigogo Sambusa, few metres from Kigogo Round About
Mita chache mbele ya Kituo cha Daladala cha Msimbazi Mission Centre

from my Library

KAMA HUKUFANYA MAZOEZI NYUMBANI

Leo nimewahi ofisini Ndio kwanza ofisi zikifunguliwa, na ili mambo kwenda fasta........................

Hakukuwa na jinsi, nilibidi kusaidia usafi wa nje

Ama kweli ilikuwa sehemu ya mazoezi, kama hukufanya mazoezi asubuhi wakati wa kuamuka

Saturday, February 25, 2012

UJUMBE WA LEO KUTOKA KWA DALADALA

Ujumbe wa leo kutoka kwenye Daladala za jiji la Darisalama umeniacha nikitafakari mambo mengi................................, hasa ujumbe namba moja.

Wanasema

NGUVU HUNA, PESA HUNA, Hata MKWARA??

Mtaji wa masikini, nguvu huna..............

Pesa, nguvu ya Matajiri imekupitia kando..........

Tuseme ndiyo mwisho wa maisha??

NO WAY

Hata kujikakamua binafsi, kujibidisha na kuonesha unaweza?????

Thursday, February 23, 2012

AHSANTE FACEBOOK - PHOTOS FROM DODOMA

KWETU DODOMA

HoH Mr Maseke Mgabho
Chenged profession from Lecturer/Researcher to Photographer recently

Sarah, Motherhouse preffered now to becoming a Nurse to take care of the family

Sis Kate - Penina

Big Sis, Karen

Kid Shalo

Homework review

Nyumbani kwetu

Dad day out

outings

Dad with daughters

we had visitors as well

The girls goes to school

sometimes there is Baby Day out as well

Thursday, February 16, 2012

UKISTAAJABU YA MUSSA..........

You would never imagine a former president, living with his mother in a slum, depressed, and spending his days drinking gin in the slum locals. You will imagine him flourishing under the umbrella of his retirement benefits, you know, like Moi.
According to African Review, former Sierra Leone President, Valentine Esegragbo Melvine Strasser lives in these exact conditions! Strasser, who stepped into power in 1992 at the age of 25, became the world’s youngest president then, but lost power in 1996.
Right now, his family members are begging the government to provide him with medical care and financial support.
The former president, who lives in these unbelievably deplorable conditions, has some good credits on his presidential portfolio. He brought Sierra Leone’ closer to democracy by doing away with the one party state government. During his time, Saturday was a national day for general cleaning.
SOURCE:vibeweekly

ZA MWIZI 40

Muda mfupi uliopita wataalamu hawa waliingia mitaa ya ofisini kwetu. Inaelekea wakijifanya wauzaji/madalali wa magari na kuanza kuonyesha na kukagua magari kwenye parking yetu likiwamo analotumia Blogger

Za mwizi ni 40,

Wamesitukiwa na MKurugenzi wetu na kuanza kukionja kilichomtoa kanga manyoa

Muda si mrefu Patrol wa pikipiki wakawa wamewazukia, na kuvuta umati mkubwa wa wadau wa mitaa yetu Kilichofuatia ni Breki ya kwanza Central..........................................