Total Pageviews

Monday, February 27, 2017

PANDA MTI

Panda mti wa matunda ufaidi vyote.
Matunda
Na kivuli.
Yusuf Makamba, RC DSM
Kwa wakati wake.

Sunday, February 26, 2017

TANZIA - KAITIRA MAGOTI KUBHOJA

Kaitira Maghoti Kubhoja,
1924 - 2017

Mzee wetu, aliyekuwa  First born  wa Babu yetu Magoti amefikwa na mauti usiku wa kuamukia leo nyumbani kwake Mabhuimerafuru.
Kwa siku za karibuni afya yake imekuwa ikizorota kutokana na kusumbuliwa na miguu pamoja na umri kutopea.
Tutamkumbuka kwa mengi.
Bwana alitoa,
Bwana ametwaa,
Jina lake lihimidiwe.
Apumzike kwa amani Ankal Kaitira.

Tuesday, February 21, 2017

KIPAUMBELE BARABARANI

Tabata asubuhi,
Gari nne zikitafuta kipaumbele kwa matumizi ya Barabara.
Basi ya Mahabusu.
Gari ya Askari Magereza wakitoka kibaruani
Gari la wagonjwa
Gari la Serikali likimuwahisha Afisa ofisini

LALA SALAMA

Count down for our LY,
Minoo, Kinyerezi kwetu.

Monday, February 20, 2017

MSIWE NA WASIWASI

Mathayo 6
 25‘‘Kwa hiyo nawaambia, msiwe na wasiwasi kuhusu maisha yenu: mtakula nini au mtakunywa nini, au kuhusu miili yenu, mtavaa nini. Je, maisha si zaidi ya chakula na mwili zaidi ya mavazi? 26Waangalieni ndege wa angani, wao hawapandi wala hawavuni au kuweka ghalani, lakini Baba yenu wa mbinguni huwalisha hao. Je, ninyi si wa thamani zaidi kuliko hao ndege? 27Ni nani miongoni mwenu ambaye kwa kujitaabisha kwake aweza kujiongezea hata saa moja zaidi katika maisha yake au kuongeza dhiraa moja kwenye kimo chake ?

ENJOYING ENTREPRENEURSHIP

Wadau wetu Suzy and Eddy,
Ofisini kwao wakitekeleza majukumu ya ujasiriamali.
Kinyerezi.

ATM AT DOORSTEP

How do you find it?
When you had an account at NMB,
and yo have an ATM machine at your doorstep!
Kinyerezi Gereji

UTII BILA SHURTI

Utii bila shurti at Zero rate.
Segerea kwa Bibi,
Monday Morning.

SUPU TENA

Soup time,
Samunge Pub,
Sunday morning

SUKUMA WIKI

Mwili haulindwi na Maasai!
Mdau Minoo kwenye shopping ya Sukuma Wiki kwa ajili ya week end.
Jumapili, Kinyerezi kwetu

Thursday, February 16, 2017

SUPER BONGES



Mwili haujengwi kwa matofari.

WAGENI BARAKA



Familia ya Msalya Mtwara ikiwa na wageni kutoka U Fin.
Jasiri haachi asili,
Mwendelezo wa Kauli kuu ya Mzee CK, Nakatuba
Wageni ni Baraka za Mwenyezi Mungu.

Wednesday, February 15, 2017

NDIYO MAAJABU YA DAR

Unaweza ukafikiria Dar,
kwamba usafiri wetu kila wakati ni wa kugombania,
kwamba barabara zetu kila wakati ni foleni !
La Hasha, Kuna wakati abiria hakuna, Daladala zinapaki kupumzika,
Na barabarani unaweza kutembea kwa mguu.
Mnazi Mmoja na Kawawa Rd leo mchana.

Tuesday, February 14, 2017

Saturday, February 11, 2017

Wednesday, February 8, 2017

SWEET ARE LOVED

Even bird likes sweet.
A bird enjoying sugar in a pot at Msimbazi Centre Cafeteria.

Tuesday, February 7, 2017

FROM CHOME TO MBEZA


CK Jnr has now moved.
Shifted from Chome Secondary to join Mbeza Secondary in Mwitongo, Butiama.

MDAU NDANI YA SEBULE

Konozz na mdau wetu wa Blog, Mr Maradona.
Ni ndani ya Sebule yetu maarufu ya Samunge.
Sunday evening

WHERE THE KING COUNTS

The early you conquer the KING, more chances of winning the game.
Kinyerezi kwetu.

Wednesday, February 1, 2017

BONGO TAMBARAREEE

Parking at "NO PARKING"
Only in Bongo.
Mission Street

BABU MILLY GOES TO SCHOOL

Mwaka mpya na mambo mapya!!
Babu Milly ameanza rasmi maisha marefu ya shule........
Lakini yote hupita na kubaki historia,
Yakichezewa ni majuto.
Go Milly, GO
Nakatuba hivi karibuni.