Total Pageviews

Wednesday, February 15, 2017

NDIYO MAAJABU YA DAR

Unaweza ukafikiria Dar,
kwamba usafiri wetu kila wakati ni wa kugombania,
kwamba barabara zetu kila wakati ni foleni !
La Hasha, Kuna wakati abiria hakuna, Daladala zinapaki kupumzika,
Na barabarani unaweza kutembea kwa mguu.
Mnazi Mmoja na Kawawa Rd leo mchana.

No comments:

Post a Comment