Total Pageviews

Monday, September 27, 2010

TANZIA - JOSIA MWAYAI MSALYA 1971 TO 26.09.2010

Josia Mwayai Msalya
1971 to 26.09.2010

Mpendwa wetu amefariki jana majira ya saa nane na robo nyumbani Kinyerezi, Dar Es Salaam.

Tunataraji Mazishi yatafanyika siku ya Jumanne tarehe 28 September 2010 majira ya saa kumi alasiri makaburi ya Kinyerezi Dar Es Salaam.

Bwana alitoa, Bwana ametwaa, jina lake libarikiwe.

AMINA


Friday, September 24, 2010

HAPPY BIRTHDAY MDAU EDDY

MDAU HUYU ALIZALIWA TAREHE 20 SEPTEMBER 19........, SAA 9.30 ALASIRI HUKO KISORYA BUNDA.
Makala na mitandao mbalimbali imekuwa ikionesha tarehe tofauti tofauti za kuzaliwa mdau.
Blog imefuatilia na kupata uhakika wa tarehe
Na mdau alipobanwa na Blog, alikiri kunyuti........................

HATUJACHELEWA SANA KUMPA STAHILI YAKE!!!!!!!!!
Chief Photographer wa Msalya Blog

HAPPY BIRTHDAY OUR DEAR MNYAGA EDDYSON
HAPPY BIRTHDAY TO UUUUUUUUUUUUUUUU

Saturday, September 18, 2010

REBECCA NYAMWEYA DAY 12 DECEMBER 2010

Picha ya Nyamweya mwishoni mwa miaka ya 90 kama sikosei.
Alifariki mwaka 2002 akiwa ameshavuta zaidi ya miaka 95.
Katika kumukumbuka mtu huyu muhimu sana kwetu, na katika kujaribu kutunza kumbukumbu yake kwa kina Rebeca wajao, Mwalimu Maclaud anaandaa siku maalum ya REBECA NYAMWEYA siku ya tarehe 12.12.2010 huko KARUKEKERE.
Wajukuu wote wanatakiwa kuweko huko wakiwa na familia zao zote.
Watu wote wanashauriwa kuandaa usafiri wao binafsi, angalau kuwepo Karukekere siku moja kabla.

Kutakuwepo na kongamano na maelezo kutoka kwa watu waliokaa na Rebecca na kufahamu historia yake.
Mmepata kusikia kusikia jinsi alivyokutana na waume zake, Magoti I na Magoti II.

Nafasi yako kati ya nafasi adimu zipatikanazo kuhifadhi kumbukumbu hii.
Picha hii ilipigwa na Magoti III

Tuesday, September 7, 2010

TENDAWILI, TEGA !!!!!!!!!!!!!


1.
HUYU NI NANI?
VIELELEZO VIWILI KUTHIBITISHA JIBU LAKO


2.
HAPA NI WAPI?????????
VIELELEZO VYAKO VYA KUSAPOTI JIBU LAKO

MSALYA ANNIVERSARY: 1895 - 04 JUNE 1966 (MEMORIES TO LIVE ON 2)

Hakika, ambao walikosa kusanyiko hili walikosa mengi, hata hivyo picha hizi za kukumbukumbu zitawasaidia kuwaeleza walichokosa......................... utaona kuwa picha zenyewe zinaongea
............nyabhilingi(nyamisi)...........
ilikuwa ni furaha tu............
hii ni marudio ya picha moja niliyowahi kuiona ya hawa jamaa,
ile inasemekana ilipigwa mwaka 1958,
wakiwa ndani ya makoti...................
kwa mdau atakaekuwa na nakala yake anaweza kuturushia hapa kwenye blog yetu
shughuli imekamilika, ni staftahi la brekifasti tayari kwa kuanza safari
Huyu dhahiri hakufurahia kuondoka kwa ugeni huu uliokuwepo
Mungu wetu mwema,
ombi maalumu kwa wasafiri......
vizuri sana kumtanguliza yeye kwa kila jambo
SAFARI NJEMA..........................

MSALYA ANNIVERSARY: 1895 - 04 JUNE 1966 (MEMORIES TO LIVE ON)

Wadau kutoka sehemu mbali mbali walihudhuria
.........Better, Nyabhutache, Tabu, Kabhajiro .......etc
..........Chausiku,Mukima,Tereza...............

Mururi
.........Mama Chuma, Mama Chai, CK................
.........Amina(Minoo)...........
Ilikuwa fursa ya kutengeneza marafiki wengine pia kutoka mbali
.........Bintize Msalya na Mrs Kabula Geriga......
......Mukima, Nyakamoga (Nyanyingu)
........wakati wa marafiki.............
....picha za kumbukumbu.........