Total Pageviews

Thursday, March 19, 2015

DAR, ARE U READY ??

Kuna kila dalili sasa kuwa mvua za masika zitaanza,
Mvua za juzi ni salamu tosha kwa wakazi wa jiji letu kukaa "standby"
Pichani ni mitaa ya Msasani, Bonde la Mpunga.

Picha kwa Hisani ya wadau wetu wa DelMonte.

No comments:

Post a Comment