Total Pageviews

Saturday, August 18, 2012

MDAU KULWA MALEMBO ANAUMWA

Mdau wetu
Kulwa Malembo ameshambuliwa na shinikizo la damu usiku wa kuamikia Sabato.
Anaendelea kupata matibabu nyumbani kwake Kitunda Tsunami.
Tunaombeni DUA zenu
                           
Wadau mbalimbali wamefika leo kumjulia hali

No comments:

Post a Comment