Total Pageviews

Friday, November 11, 2011

MY 21 DAYS VACATION TO NAKATUBA - KARUKEKERE

Nyamweya Rebecca RIP(1913 - 20 December 2002)
Vacation ilinipeleka Karukekere.
Kuzuru pahala alipopumzika Bi Mkubwa Rebecca Nyamweya na mwanae na mjukuu wake.
kama kawaida nikawa na kampani ya kutosha.


Wadau Joshua na CK Jnr2, wao walikuwa na namna tofauti ya kuzuru makaburi haya

Mrs Nezia M. Magoti
Ni furaha sana tunapokutana na ndugu baada ya kuwa mbali muda mrefu.

Bi wakubwa wakapata nafasi ya kuteta mambo yao

Nyamkaruka

Masururi,
Kwa Bi mkubwa Lusia


bila ya shaka akimwambia " Umekuwa mkubwa hivi..................."

Nani alisema huku kwetu hakuna mambo ya mitandao???

Uncle Muyabhi, hakutaka kupigwa picha

Lakini pamoja na kuruka ruka, hakuweza kabisa kukwepa lens za kamera za blogger

Nikiwa karukekere nilikutana na Bw Mabhanga Makaranga, miaka 33 tokea tulipoachana Mara secondary. Maisha si mchezo, sikuweza kupata picha yake.

Kupoza kiu, maji baridi ya mtungi wa kwetu

ni wakati wa kubarizi na kupeana habari za masiku tele.
Masururi, Beria, Macklaude, Bi Penina

Mrs Bilshani"Chuma",Bi Penina, Bi Tereza, Mashaka

Mrs Cecilia Macklaude na wageni wake









Kwetu hakuna haja ya viyoyozi

Safari yetu ya kurudi tulipitia kumwona ndugu yetu, Bw Mganji anaesumbuliwa sasa na matatizo ya miguu
ugeni ukapokelewa kwa bashasha na wenyeji

Mr Mganji

Bi Mkubwa Tabitha Malekela (Mrs Mganji)

No comments:

Post a Comment