Nyamweya Rebecca RIP(1913 - 20 December 2002)
Vacation ilinipeleka Karukekere.
Kuzuru pahala alipopumzika Bi Mkubwa Rebecca Nyamweya na mwanae na mjukuu wake.
kama kawaida nikawa na kampani ya kutosha.

Wadau Joshua na CK Jnr2, wao walikuwa na namna tofauti ya kuzuru makaburi haya

Mrs Nezia M. Magoti
Ni furaha sana tunapokutana na ndugu baada ya kuwa mbali muda mrefu.

Bi wakubwa wakapata nafasi ya kuteta mambo yao

Nyamkaruka

Masururi,
Kwa Bi mkubwa Lusia

bila ya shaka akimwambia " Umekuwa mkubwa hivi..................."

Nani alisema huku kwetu hakuna mambo ya mitandao???

Uncle Muyabhi, hakutaka kupigwa picha

Lakini pamoja na kuruka ruka, hakuweza kabisa kukwepa lens za kamera za blogger

Nikiwa karukekere nilikutana na Bw Mabhanga Makaranga, miaka 33 tokea tulipoachana Mara secondary. Maisha si mchezo, sikuweza kupata picha yake.

Kupoza kiu, maji baridi ya mtungi wa kwetu

ni wakati wa kubarizi na kupeana habari za masiku tele.
Masururi, Beria, Macklaude, Bi Penina

Mrs Bilshani"Chuma",Bi Penina, Bi Tereza, Mashaka

Mrs Cecilia Macklaude na wageni wake
No comments:
Post a Comment