Total Pageviews

Monday, December 5, 2011

MY 21 DAYS VACATION TO NAKATUBA - LIKIZO KWISHNEI

18.10.2011

Likizo imekwisha, safari ya kurejea inaanza.

"Pains" zinajionesha miongoni mwa watu, lakini hakuna budi kuendelea,

CK Jnr, Suzy na wengine inawawia vigumu kukubali..................................

Lakini hakuna jinsi.

Kila inapowezekana, tunapita na kuaga ndugu na jamaa

Busambara, Kibara.............. Mwl Mafuni kutoka Sunsi alikuwepo pia kutoa mkono wa kwaheri
Mwl Belly Bunda.......................Super Mteki(Bila picha ) wote wakitupa mkono wa kwaheri

"Likizo nyingine mtakapokuja badala ya kwenda mpaka huko Pida, basi mtafikia hapa"
Mzee Mwayai, Mama Nyabherenga(Nyamasisi), Mama Nyakamoga wote wakitutakia safari njema.

1 comment: