Total Pageviews

Thursday, December 1, 2011

MY 21 DAYS VACATION TO NAKATUBA - MMAGUNGA VISIT

Tulipata nafasi ya kutembelea Mmagunga kuwasalimia ndugu na jamaa,
na kupata wasaa wa kubadilishana mawazo kwa hili na lile.
Hapa wazee CK na Manyama Mafwimbo nao walikuwa na yao.
Wengine humwita "Rajabu", na mie nimezoea "Ajabu"
Sina hakika nani yuko sahihi, lakini siku hii hatukuona kama kama ni muafaka kupata ufafanuzi.
Na yeye akiwa amezama katika mawazo..........pengine akiwaza
"Kuku yupi niwachinjie hawa wageni?"
Mzee Manyama na Mama Nyasige (Nyamakubhi)

Wenyeji na wageni tulikuwa wamoja ndani ya muda mfupi

CK Jnr 2 yeye hakuona umuhimu wa kuficha hisia zake wakati wowote zinapojitokeza........

Na hatimae wenyeji walituona tukiondoka

Mrs Ajabu, Nyamakubhi, Ajabu na wenyeji wengine walitusindikiza

Kutoka kwa Manyama tukapitia kwa Shemeji Bw Majaga, mumewe na Hellena (Mama Zarau)
"Kikanuni mgeni anapokutembelea hapaswi kuishia nje"

Ndivyo tulivyoelekezwa hapa, na hatukuwa na ubishi. Lazima kuingia ndani ili tuweze kuendelea kusonga mbele na safari yetu ya leo.

No comments:

Post a Comment