na kupata wasaa wa kubadilishana mawazo kwa hili na lile.
Hapa wazee CK na Manyama Mafwimbo nao walikuwa na yao.

Sina hakika nani yuko sahihi, lakini siku hii hatukuona kama kama ni muafaka kupata ufafanuzi.
Na yeye akiwa amezama katika mawazo..........pengine akiwaza
"Kuku yupi niwachinjie hawa wageni?"
No comments:
Post a Comment