Total Pageviews

Monday, August 24, 2015

ZABURI 116:12 - NIMRUDISHIE BWANA NINI............

Jumamosi ya tarehe 08 August 2015,
Sehemu kubwa ya familia ya "Late" Crawford Kurwijira Msalya ilihudhuria ibada ya sabato katika kanisa Mama la Waadiventista Wasabato la Nakatuba.
Washiriki waliwasilisha salamu zao za kuguswa na Michango ya familia hii waliyoitoa kwa ajili ya ujenzi wa jengo la kanisa, Kundi la Nakatuba.
Ni matumaini yetu kuwa Mwenyezi Mungu atawezesha ukamilishwaji wa jengo hilo, kama ilivyokuwa ndoto za Baba yetu Mpendwa wakati anaumwa za kuona ujenzi huo unakamilika huku nae akishiriki kwa hali na mali.

ZABURI 116:12. “Nimrudishie Bwana nini Kwa ukarimu wake wote alionitendea?

No comments:

Post a Comment