Total Pageviews

Thursday, August 27, 2015

NAMNA GANI YA KUINEZA INJILI

Kinyerezi leo asubuhi,
Muumini akiwajibika kueneza neno la Mungu.

Mathayo 28:19-20 "basi enendeni mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi mkiwabatiza kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho mtakatifu na kuwafundisha kuyashika yote niliyo waamuru ninyi na tazama mimi nipo pamoja nanyi siku zote hata ukamilifu wa dahari."

Wakolosai 1:26-29 "Siri ile iliyofichwa tangu zamani zote na tangu vizazi vyote bali sasa imefunuliwa kwa watakatifu wake ambajinsio Mungu alipenda kuwajulisha jinsi ulivyo utajiri wa utukufu wa siri hii katika mataifa nao ni kristo ndani yenu tumaini la utukufu amabaye sisi tunamhubiri habari zake tukimwonya kila mtu na kumfundisha kila mtu katika kila hekima yote tupate kumleta kila mtu mtimilifu katika kristo Nami na jitaabisha kwa neno lilo hilo nikijitahidi kwa kadiri ya kutenda kazi kwake atendaye kazi ndani yangu kwa nguvu."

Mathayo 24:14 "Tena habari njema ya ufalme itahubiriwa katika ulimwengu wote kuwa ushuhuda kwa mataifa yote hapo ndipo ule mwisho utakapokuja."

 1Wakorintho 2:1-5 "Basi ndugu zangu mimi nilipokuja kwenu sikuja niwahubiri siri ya Mungu kwa ufasaha wa maneno wala kwa hekima maana naliazimu nisijue neno lo lote kwenu ila Yesu kristo naye amesulibiwa nami nalikuwako kwenu katika hali ya udhaifu na hofu na matetemeko mengi na neno langu na kuhubiri kwangu hakukuwa kwa maneno ya hekima yenye kushawishi akili za watu bali kwa dalili za Roho na za nguvu iliimani yenu isiwekatika hekima ya wanadamu bali katika nguvu za Mungu."

 2Wakorintho 5:20 "Basi tuwajumbe kwa ajili ya Kristo kana kwamba Mungu anasihi kwa vinywa vyetu; twawaomba ninyi kwa ajili ya Kristo mpatanishwe na Mungu."

 Marko 16:15 na Yohana 13:35 "Akawaambia enendeni ulimwenguni mwote mkaihubiri injili kwa kila kiumbe... hivyo watu wote watatambua ya kuwa ninyi mmekuwa wanafunzi wangu, mikiwa na upendo ninyi kwa ninyi."

Isaya 60:1 "Ondoka ukaangaze kwakuwa nuru yako imekujia na utukufu wa Bwana umekuzunguka.

Isaya 61:1 " Roho ya Bwana Mungu I juu yangu kwa sababu Bwana amenitia mafuta ni wahubiri wanyenyekevu habari njema amenituma ili kuwanganga waliovunjika moyo kuwatangazia mateka uhuru wao na hao walio fungwa habari ya kufunguliwa kwao."

No comments:

Post a Comment