Total Pageviews

Wednesday, August 19, 2015

UTALII BILA KUTARAJIA


Utalii  wa bila kutarajia.
Gari tuliyokuwa tukisafiria kutoka Bunda kwenda Mwanza ilipata hitilafu tukiwa mbugani Serengeti.
Punde Nyani walijumuika nasi wakitafuta riziki kutoka kwetu.
Ni utalii wa ndani bila kuupangilia.
Hivyo kumalizia kwa kupata Lunch Villa Club ni utalii tosha wa siku hiyo.

No comments:

Post a Comment