Total Pageviews

Wednesday, August 26, 2015

POLITIKI FAIL

Matokeo ya maamuzi mabovu ya wanasiasa.
Jengo hili la Soko lililokusudiwa kwa ajili ya wakazi wa kijiji cha Nakatuba na ambalo limegharimu mamilioni ya pesa za walipa kodi likiwa limetelekezwa bila kufanya kazi.
Aidha waliofanya maamuzi hawakujua Wananchi wa Nakatuba kipaumbele chao ni nini ? Au kama ni Soko basi lilipaswa kujengwa sehemu gani.
Bahati nzuri kwa wanasiasa hawa hakuna malalamiko kutoka kwa Wananchi, na wala hakuna wa kuwajibika kwa hasara hii.
Nakatuba kwetu hivi karibuni.

No comments:

Post a Comment