Total Pageviews

Monday, October 31, 2011

MY 21 DAYS VACATION TO NAKATUBA - NIGHT AT PIDA

Siku ya tatu Bunda,

Spare haijapatikana ikalazimu convoy kujisalimisha PIDA.

PIDA - neno kutokana na "Public Works Department"

zamani zile wakishughulika chini ya Idara ya ujenzi kuangalia matengenezo ya barabara kwa ukaribu. Naikumbuka PIDA ya pale Kasahunga.

Vijumba vyao vilivyochoka ile mbaya vingaliko, ila Pida ya hapa Nyamikoma sikuiona.

Labda kwa sababu niliingia usiku na kutoka alfajiri. Pamoja na kuwa usiku, waheshimiwa hawakusita kupata japo kumbukumbu za blog

Mr Maingu Baruku K Msalya Mr Msalya Baruku Msalya K Msalya

Mwl Belly Snr (ikumbukwe sasa kuna Belly Jnr)
Picha ya kuzama kwa mwezi, Alfajiri tayari kwa safari ya kutafuta spare Rocky City
Bango la shule
Nikaambiwa hili lilitolewa kama zawadi baada ya Mhe. Jovin "Baloteli" wakati akiwa mwanafunzi wa darasa la sita hapa Nyamikoma, kushinda shindano la uandikaji na usomaji wa Insha kuhusiana na vita dhidi ya Malaria.

Customs check point
waheshimiwa wakisaka msosi asubuhi na mapema

Baada ya kushinda Mwanza kutwa nzima nikizunguka kutafuta spare bila mafanikio, nikapata nafasi ya kuwapa Hi kule Shamariwa - Igoma.
Robert, Eddy, Phares na Heri

Mr Phares

No comments:

Post a Comment