Total Pageviews

Monday, October 31, 2011

MY 21 DAYS VACATION TO NAKATUBA - BUNDA BREAKDOWN

Hakuna namna ya kuondoka.Lazima spare ipatikane, irudishiwe ndipo safari itaendelea. Zilikuwa siku nne za kujionea mambo mbalimbali

God's Garage team.
Mujungu (right), Jita (not in photo) and a number of trainnee assistants
Hii nikaipenda, Ubunifu wa mjasiriamali mmoja Bunda.
Pictures and useful Quotes are sold along Nyerere Rd

Bunda,Opposite Gereji ya God ndio ikawa meeting point yetu na jamaa na ndugu mbalimbali.
Super Mteki alifika kutuona



Father Mwayai, muda mwingi alifika kutujulia maendeleo ya shughuli yenyewe ya matengenezo. wakati mwingine tukapata na nafasi ya ku peruzi

Kumbe hata kwetu Bunda, Gari za watalii hupita,mojawapo ikiishia ishia from Musoma to Mwanza


Tukawa part and parcel ya kijiwe hiki, stand ya Vi "Noah" kwenda Musoma

Nyamasisis walitutembelea pia

Kijiweni kwetu kuna wakati palikuwa hot............

Only in Bunda.........Paka Maalum mwenye shughuli maalum ya kulinda panya dukani, akipokea maelekezo maalum kupitia mlango maalum

No comments:

Post a Comment