Total Pageviews

Sunday, October 30, 2011

MY 21 DAYS VACATION TO NAKATUBA - MWANZA TO BUNDA

Safari inaendelea, kabla ya kuanza. Picha ya kumbukumbu
AIC Makongoro Hostel
Tribute to Mrs Restitutor Lukiko
Kiseke Gravel Yard.

Upumzike kwa amani Restituta "Mama Florah"
Nyakato, Shule ya msingi Gideli tunapita kumpa Hi Father Goodluck Chausi.Furaha ilioje......
Kujiweka sawa kwa safari, Convoy inapata kiamsha kinywa Igoma
Supu ya mbuzi, Chai ya Maziwa, na Chapati.
Igoma hakuna matata......................................
8 Kilometers, before Magu kadhia inaanzia hapo,

Tatizo kwenye Engine??
ndivyo inavyoelekea
Tunajikongoja hadi Magu, Msilanga Garage
Option ya kwanza Changing Oil.
Baada ya masaa kadhaa safari inaendelea kwa kujikongoja, maana bado Gari haiko sawa.
Lamadi.
Kila panapo fursa inapewa maji.
Lamadi
CN Hotel Bunda
CN
Gereji ya God,

Hatimaye tatizo limegundulika, Overheating imeunguza Cylinder Head Gasket

No comments:

Post a Comment