
Safari inaendelea, kabla ya kuanza. Picha ya kumbukumbu

AIC Makongoro Hostel

Tribute to Mrs Restitutor Lukiko

Kiseke Gravel Yard.
Upumzike kwa amani Restituta "Mama Florah"

Nyakato, Shule ya msingi Gideli tunapita kumpa Hi Father Goodluck Chausi.Furaha ilioje......

Kujiweka sawa kwa safari, Convoy inapata kiamsha kinywa Igoma

Supu ya mbuzi, Chai ya Maziwa, na Chapati.
Igoma hakuna matata......................................

8 Kilometers, before Magu kadhia inaanzia hapo,
Tatizo kwenye Engine??
ndivyo inavyoelekea

Tunajikongoja hadi Magu, Msilanga Garage
Option ya kwanza Changing Oil.
Baada ya masaa kadhaa safari inaendelea kwa kujikongoja, maana bado Gari haiko sawa.

Lamadi.
Kila panapo fursa inapewa maji.

Lamadi

CN Hotel Bunda

CN

Gereji ya God,
Hatimaye tatizo limegundulika, Overheating imeunguza Cylinder Head Gasket
No comments:
Post a Comment