Total Pageviews

Friday, October 28, 2011

MY 21 DAYS VACATION TO NAKATUBA - DOM TO MZA

Siku njema hunekana asubuhi.
Pamoja na safari iliyopo mbeleni mwetu leo tuliamukia Break fast ya nguvu
Wenyeji wetu awlikuweko kutuona tukianza safari na kutupa mkono wa kwaheri Driver in charge, Mr Makamuzitulivuka milima na mabonde tukiwapita mmoja baada ya mwingine
tukizipita madhari za kila aina
Kila mara tukiangalia alama zilizopo barabarani, tukalinganisha na ramani yetu ya safari.
Tukijionea namna mbali mbali za ubebaji wa mizigo.
Kama huyu jogoo aliyeweka juu ya mkaa, na kufungwa nyuma ya lori, yumkini kumuepusha na athari za upepo mkali.
Tinde
Kizumbi, outskirts of Shinyanga town

ikabidi kusimama kupata picha ya kumbukumbu angalau ya bango la chuo changu nilichokuwepo miaka ya 1980/81
Kizumbi
Shinyanga Hotel,
enzi zake usiombe, ndiyo ilikuwa Hotel ya watu wazito miaka hiyo.
lakini leo imechoka ile mbaya.
Tulisimama hapa baada ya kupata pancha, tukaonelea tupate matengenezo hapa na msosi kabla ya kuendelea.

Nyegezi round about ikatukaribisha kufika kwetu Mwanza.

Rocky City

No comments:

Post a Comment