Total Pageviews

Monday, September 3, 2012

NIMEKAA MITAA HII

 Kwa Mzee Makamba
 Kwa Mkulu wa nchi hapa, ni jirani na nyumba niliyokaa miaka hiyo
 
 
  
Kwa Mzee Mambo "Big Boss"
Makazi yangu miaka ya 80s
Ilikuwa nyumba kubwa yenye kubeba familia kama kumi hivi, lakini sasa haikaliwi imebakia magofu na kuzungukwa na vichaka.

No comments:

Post a Comment