Total Pageviews

Monday, September 3, 2012

MWACHA ASILI............

Chiaz
Bagamoyo Jumamosi,
Bw Kaburi alikuwa mpangaji mwenzetu nyumbani kwa Mzee Mambo Bagamoyo.
Kwa miaka takribani ya Ishirini, ndiyo majuzi tena tumekutana.
Tuliongea na kukumbushana mengi.
Na huwa na mambo ya kujifunza kupitia kwake

No comments:

Post a Comment