Total Pageviews

Tuesday, September 25, 2012

MDAU MALEMBO AMELAZWA

Mdau wetu Kulwa Malembo anaumwa na amelazwa jana Amana Hospitalini.
Tatizo ni pressure kuwa juu kuliko kawaida, sukari nyingi na tatizo lilijitokeza awali la stroke.
Maombi yetu na yenu yawe pamoja kumwombea apate nafuu mapema.

1 comment: