Total Pageviews

Thursday, November 18, 2010

VIJANA WA ENZI HIZO

Pekua pekua ya jana imenikutanisha na Picha hii.
Enzi za ujana wao.
Mwayai tulikuwa nae, anakumbuka ilipigwa studio moja mjini Mwanza kwenye miaka ya 1958.

No comments:

Post a Comment