Total Pageviews

Monday, November 22, 2010

KIKAO CHA NDUGU KUIMARISHA UPENDO

Jana tulikuwa na kikao cha ndugu wote waishio Dar Es Salaam, kule kweu Kinyerezi.
Lengo lilikuwa kuwaweka ndugu wote wa Dar es Salaam karibu katika Upendo na kuwa na mawasiliano thabiti na yenye uhakika.
Tayari kusaidiana kwa shida na raha.
Na kama kawaida, Ki Nokia kilikuwepo kunasa baadhi ya matukio.
japo kwa taarifa ya muda mfupi, waliohudhuria si haba, na tumeazimia tuwe na kikao kingine Jumapili ya tarehe 28/11 pale pale kwetu Kinyerezi.
Hususa sasa ni kuweka mambo sawa na ku "take off"
Mzee Mwayai alikuweko kutoa busara zake
seeing them off

No comments:

Post a Comment