Total Pageviews

Thursday, November 18, 2010

IDD EL HAJI

Jana baada ya pilikapilika za sikukuu na mihangaiko ya hapa na pale, tukatoka hadi kule kipunguni kuangalia mizigo ya Marehemu Josia.
Baada ya tafakuri ya kipi kinaweza kwenda Bunda, kipi cha kubaki na kipi kifanyiwe nini. Hatimae tukafikia muafaka.
Katika safari ya kurejea kwetu Kinyerezi, tukasema si vibaya tukapitia Garden ku pass time.
Kwa wale mnaopajua KM Magereza, madhari yake ipo vizuri sana.
Kwa kuwa Ki Nokia changu nilikuwa nacho nikaona si haba nikanyaka japo picha mbili tatu za kumbukumbu.


No comments:

Post a Comment