Total Pageviews

Monday, February 12, 2018

JASIRI HAACHI ASILI

Asili yetu Kilimo na Ufugaji.
Si vyema kuitupa mkono Asili,
Jambo jema ni kuiboresha.
Kilimo cha Kisasa na Ufugaji wa Kisasa wenye Tija.
Ni vyema basi kuhakikisha kuwa hata Mifugo inakuwa na Banda zuri lenye nafasi ya kutosha na lenye kuezekwa vizuri ili kuwakinga na jua na mvua.
Likizo Tyme, Nakatuba

No comments:

Post a Comment