Total Pageviews

Wednesday, February 21, 2018

EX NAMALEBE STUDENTS

Namhula wakati wa Likizo.
EX Namalebe Student - Bi Rebeka Nyabwire Malekela. (Mrs Yoel Massano)
Ni miongoni mwa wanafunzi wa kwanza kabisa wa Shule ya Msingi Namalebe wakati inaanzishwa.
Mwaka 1949, na akamaliza hapo mwaka 1952.
Anawakumbuka Walimu wake waanzilishi, Mwl Sylivery na baadae Mtobhesya.
Blogger alipata nafasi ya kumtembelea kijijini kwake Namhula wakati wa Likizo.
Blogger nae ni EX Namalebe Student, aliyeingia 1967. Miaka 15 baada ya Rebeka kuondoka.
Are They School Mates?

No comments:

Post a Comment