Total Pageviews

Friday, November 10, 2017

LIFE GOES ON

Mambo huja na kupita,
Baada ya Mvua za wiki zilizopita zilizosababisha mafuriko makubwa kwa wakazi wa Bonde la Mto Msimbazi, Dar sasa ni jua.
Hakuna Mafuriko,
Na Maisha yanaendelea.
Bonde la Msimbazi, Kawawa Road

No comments:

Post a Comment