Total Pageviews

Friday, November 24, 2017

FOCONA RAFIKI WA MAZINGIRA MTWARA

Forum for Conservation of Nature, Mtwara HQ wanazidi kuchanja mbuga katika uhifadhi wa mazingira.
Pamoja na kuwa na Vitalu vya miti ambayo huisambaza baadae kwa jamii, Mitaani wameeneza ujumbe wa kuhimiza utunzaji wa Mazingira kama vile kutokutupa takataka ovyo na upandaji wa miti.

No comments:

Post a Comment