Total Pageviews

Tuesday, November 28, 2017

KISA CHA KALENDA

Hapo zamani,
Mwaka 1752, Waingereza walipokwenda kulala tarehe 2 Septemba lakini walipoamuka kesho yake ilikuwa tarehe 14 Septemba.
Kulikoni,
Siku 11 zilikuwa zimeondolewa kwenye Mwezi wa Tisa ili kuendana na Sheria mpya ya Kalenda.
"Calendar (New Style) Act of 1750"
Huu ni Mwezi Waingereza walihama kutoka matumizi ya Kalenda ya Julian kwenda Kalenda ya Gregorian.
Pia katika Kalenda ya Julian, mwaka mpya ukianza Tarehe 1 April. Sasa hata baada ya mabadiliko Waingereza wengi wakiendelea kusheherekea Mwaka Mpya April mosi. Kwa kuchukizwa na hilo Mfalme akawa ametoa amri kuwa wote wanaoendelea kusheherekea Mwaka Mpya April Mosi kuitwa Wajinga, Na kuanzia hapo April Mosi imejulikana kama Sikukuu ya Wajinga.

"Kutoka Mitandaoni"

No comments:

Post a Comment