Total Pageviews

Wednesday, July 12, 2017

LALA SALAMA, KODI ZA MAJENGO

Siku zinazidi kuyoyoma,
Nyongeza ya siku ziliwekwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania kwa ajili ya kulipia kodi za Majengo nayo inaelekea ukingoni. Bado siku mbili.
Kama kawaida foleni za kulipia zimerudi Vituo vya TRA.
Ni kizungumkuti.

No comments:

Post a Comment