Total Pageviews

Monday, July 17, 2017

BURIANI MZEE WETU YOWERI MASSANO

Buriani Mzee Yoweri Massano,
Baba yetu alifikwa na Mauti tarehe 13 Julai 2017 kwa Bintiye Pendo mjini Singida alikokuwa ameenda kupatiwa matibabu.
Mwili wake ulisafirishwa tarehe 14 Julai kwenda Namhula kwa Mazishi.
Hatimae Jumamosi tarehe 15 Julai 2017 amepumzishwa kwenye makazi yake akisubiria ufufuo.
Bwana alitoa,
Bwana Ametwaa,
Jina lake Lihimidiwe.

No comments:

Post a Comment