Total Pageviews

Sunday, April 23, 2017

SABATO SDA MTWARA KATI

 Jumamosi,
Sabato katika Kanisa la Waadvensita Wasabato.Kanisa Mama Mtwara mjini.
Bw. Baruku akikutana na washiriki wengi waliopoteana muda sasa.
Kwa takribani miaka minne Baruku akihudumu hapa kama Mhazini wa Kanisa kabla ya kuhama hapa mnamo mwaka 2003.
 Msalya Tall katika darasa la Shule ya Sabato
 Kanisa Mama, Mtwara Kati
Bw Baruku anajivunia kuwa mshiriki mkubwa katika ujenzi wa Kanisa hili.
 Mzee Msalya,
Wazee wa Kanisa
Katika matangazo aliwasilisha salamu za Familia za Shukrani kwa washiriki wa Kanisa kwa namna ya pekee walivyoshiriki katika Msiba wa Mama yetu Thecla
 Mwinjilisti,
Kenedy Mshana
Katika mahubiri yake, yaliyojikita hadithi ya Daudi na Goliath alisisitiza sana Uinjilisti wa Vitabu
 
 
 
 Darasa la shule sabato,
Mageuzi makubwa ya kanisa la Sabato
Kusuka Nywele siyo tena jambo la kukutenga na kanisa
Bw Baruku ana ushuhuda kwamba kazi ya utume mjini Mtwara inaenda vyema.
Kutoka kanisa moja Mtwara mjini wakati wake hadi Makanisa Matatu sasa.

No comments:

Post a Comment