Total Pageviews

Sunday, April 23, 2017

PHOTO SHARING FROM MUMBAI


Dr. George Msalya, who is in Mumbai India has recently shared photos with our Blog.
 Dr George anatoa ushuhuda:
"Mussa alipotumwa kwa Farao alikuwa na miaka 80,na akaongoza Israel kwa miaka 40, Blogger hajafikia hata 60........
Salem India ina wakazi zaidi ya Million kumi, Makanisa ya Sabato ni mawili tu yenye washiriki takribani mia moja.Mungu anatenda kazi, Sabato ya jana wamebatizwa watu 13"
 Itili,
Jasiri haachi asili
Chakula ughaibuni, ambacho huandaliwa kwenya jani la Mugomba.
Dosa
Katika jani la Mgomba pia.
Wanablog wanasema huu uaandaji wa chakula wa asili ni maarufu toka enzi na enzi kwa nchi za Afrika Mashariki. Tanzania, Rwanda na Uganda.

No comments:

Post a Comment