Total Pageviews

Monday, October 3, 2016

LIGI YA KUKU

Ni ligi ya kugombea kuku kwa vijana chini ya 15,
Chandimu ndiyo mpira wetu hapa, lakini ukiangalia kuna Vipaji dhahiri vinaonekana.
Kisichojulikana ni lini wataonwa.
Mimi nilishabikia Kurugongo, Barcelona wa Nakatuba,
Watoto wa Centre waliondolewa na Namalebe waliokuja baadae kuchukua Kombe "Kuku"

No comments:

Post a Comment