Total Pageviews

Wednesday, July 1, 2015

UTII BILA SHURUTI

Ni mtazamo wangu...........
Kwa mimi kuachia service roads magari mengine yapitie huko kunapunguza foleni barabara kuu,
Lakini kwa wasimamizi wa sheria za barabarani,
Kuzuia magari kupita service road, ili yote yapite barabara kuu kunapunguza foleni.
Amana, Ilala leo asubuhi.

No comments:

Post a Comment