Total Pageviews

Thursday, July 16, 2015

KIZURI HAKIKOSI KASORO

 Corn Plant
 Dieffenbachia/Dump cane
 Elephant Ear
 Heartleaf Philodendron
 Aloe Plant
Satin Pothos

Maua mazuri yapendeza,
Ukiyatazama, utachekelea.........
Maua mazuri yapendeza.

Pamoja na uzuri wa mimea ya maua ya ndani kuna maua yenye sumu ambavyo vinaweza kudhuru mifugo ya nyumbani, watoto na hata watu wazima.
Sumu hii kutoka mimea iko katika viwango mbalimbali, na ikitokea kumezwa inaweza kusababisha madhara makubwa ikiwemo vifo.
Ni vema basi ukawa na ufahamu wa mmea wako wa maua ulioupanda nyumbani au kuutunza ndani na kuchukua tahadhari.
Watu wengi hawaamini kuhusu athari ya haya maua tunayoyapenda. Pengine unakuta wamepanda chini na mtoto anaweza kuyafikia tu kirahisi hivyo.
Hapa chini ni maoni ya wadau ambayo niliyapata kwenye mitandao kuhusiana na Ua la pili hapo juu (Dieffenbachia/Dump cane).

"Hilo ua ............. ambalo ni common sana kwenye majumba yetu na ofisi zetu limewahi kumletea kizaazaa mama yangu mdogo. Ua hilo lilikuwa limepandwa karibu na zizi la ng'ombe na ng'ombe mmoja alijichanganya akalitafuna kidogo apate uchizi. Mamdogo wangu alipoona ng'ombe yuko katika hali ile akawa anashangaa ng'ombe kala nini, naye bila kujua atendalo akachukua kijani kidogo cha ua hilo akatafuna ili kuhakikisha. Kilichomtokea mdomo uliumuka kupita kawaida na ukawa una maumivu makali kama vile unawaka moto! Mdomo ulirudi mahala pake baada ya siku kadhaa na msaada wa daktari. Tangu siku hiyo tuling'oa maua yote ya vile na tumekuwa makini nayo kila tuyaonapo, including kuwatahadharisha wenzetu."

"Hilo la ......... hata mimi liliwahi kunitaabisha.nilikuwa nimeshika maji maji yake nikajisahau nikaweka mkono jichoni. weee! Nilijuta."
  

1 comment:

  1. HERESY CHECK ! BY STEVE FINNELL
    There are only two kinds of doctrine taught in contemporary churches.

    1. Man-made doctrine, which is heresy. (Mark 7:1-9-13... 9 And He said to them, "All too well you reject the commandment of God, that you may keep your tradition.....13"making the word of God of no effect through your tradition which you have handed down. And many such things you do.)

    Man-made doctrine is found in catechisms, creed books, and church statements of faith.

    2.The word of truth, which is God's word. (1 Thessalonians 2:13 For this reason we also thank God without ceasing, because when you received the word of God which you heard from us, you welcomed it not as the word of men, but as it is in truth, the word of God, which also effectively works in you who believe.)

    The word of God is found in the Bible and the Bible alone.

    Some believers proclaim that in order to be saved, men must go to a mourners bench, repent and pray until you feel saved. Still other believers assert that men need to go to a so-called altar, in front of the church building, and pray a sinner's prayer in order to be saved. There are those that believe salvation comes from simply saying a sinners prayer, and having a repentant heart. Is this heresy or truth? Where are the Scriptures to support these doctrines? There are no Scriptures, there are only handed down traditions of men

    Jesus said, Mark 16:16 "He who believes and is baptized will be saved; but he who does not believe will be condemned.

    Was Jesus a heretic for saying "Is baptized will be saved?" Or was Jesus speaking the word of God?

    The apostle Peter said, 1 Peter 3:20-21....were saved through water. 21 There is also an antitype which now saves us, namely baptism (not the removal of the filth of the flesh, but the answer of a good conscience toward God), through the resurrection of Jesus Christ,

    Was the apostle Peter a heretic for saying, "Which now saves you, namely baptism?" Or was Peter speaking the word of God?

    Ananias said, Acts 22:16 'And why are you waiting? Arise and be baptized, and wash away your sins, calling on the name of the Lord.'

    Was Ananias a heretic for saying, "Arise and be baptized, and wash away your sins?" Or was Ananias speaking the word of God?

    The apostle Paul said, Ephesians 5:25-27 ...just as Christ loved the church and gave Himself for it, 26 that He might sanctify and cleans it with the washing of water by the word, 27 that He might present it to Himself a glorious church, not having spot or wrinkle or any such thing, but that it should be holy and without blemish.

    Was the apostle Paul a heretic for saying. "sanctify and cleanse it with the washing of water by the word?" Or was Paul speaking the word of God?

    The apostle Peter said, Acts 2:38 Then Peter said to them, "Repent, and let every one of you be baptized in the name of Jesus Christ for the forgiveness of sins; and you shall receive the gift of the Holy Spirit.

    Was the apostle Peter a heretic for saying, " Be baptized for the forgiveness of sins?" Or was Peter speaking the word of God?

    There are only two choices. 1. Man-made doctrine, or 2. The word of God.

    (All Scripture from: NEW KING JAMES VERSION)

    YOU ARE INVITED TO FOLLOW MY BLOG. http://steve-finnell.blogspot.com

    ReplyDelete